Lamborghini Huracán LP 610-4 t
Sm gen 2 1 thumb 37
Katika mtaa unaoishi kuna baba mmoja alimkamata mtoto kwa kosa la kumtania kwamba anakichwa kama mafiga,Baba yule alimchukua mtoto yule mpaka kwa baba yake kumshitaki. Mambo yalikuwa hivi
Baba wa kwanza:Eeh bwana we,huyu mtoto naona sasa tabia yake inaanza kuvuka mipaka,Hawezi kunitukana mi na kichwa kama mafiga!
Mara mtoto akadakia Mtoto: Baba huyu ni mwongo yeye ndo kaniambia kwamba eti mlipokuwa mnasoma kuna siku walikukimbiza halafu wakakubaka! Eti baba ni kweli? Baba wa mtoto: Ilibidi kuchukua panga ndani na kuanza kumfukuza jamaa Mtoto full kucheka