Insane
Sm gen 2 1 thumb 39
Baada ya kukosa kuuawa kwa panya janja mara nyingi mwenye nyumba aliamu kurosti kitimoto na kutia sumu kali kumtega panya janja. Panya janja usiku wa manane akiwa na njaa kali akakumbana na msosi mkali kwanza akawaza moyoni "huu sio upendo lazima kuna kitu hapa isije nikafa kizembe" ndipo alipoamua kuandika kimeseji ee bwana mi dini yangu hainiruhusu kula kitu haramu hicho.