Kanisa moja hapa nchini,padri mmoja alikuwa akiwafungisha ndoa wapendanao mambo yalikuwa kama hivi:
Padre:: Je john peter unampenda janeth jack na uko
tayari kufunga nae pingu za
maisha? John:Mzuka nampenda kinyama Padre: Je janeth jack unampenda john na uko tayari
kuishi nae katika maisha ya
ndoa? Janeth:Kinamna,mzuka kupita kiasi Padre: Oya acheni usenge,mnajua mpo kanisani
humu