XtGem Forum catalog
Sm gen 2 1 thumb 26
1..Kama hela haioti kwenye miti kwanini bank zina matawi. 2..Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake? 3..Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa, kwanini bar kuna parking? 4..Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho kwanini lenyewe ni refu. 5..Kama tunatakiwa kufanya mapenzi ndani ya ndoa tu, kwanini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Nitumie majibu kupitia +255777000380 Zawadi nono imetayarishwa kwa mshindi